Diwani ya Hadithi za Watoto - Juzuu ya Kwanza

Diwani ya Hadithi za Watoto - Juzuu ya Kwanza

Elimu Yetu
Bạn thích cuốn sách này tới mức nào?
Chất lượng của file scan thế nào?
Xin download sách để đánh giá chất lượng sách
Chất lượng của file tải xuống thế nào?
Kitabu hiki chenye hadithi 37 Fupi za Kiswahili kimeandaliwa na maktaba.org, mradi wa Elimu Yetu Development Organization unaolenga kukuza utamaduni wa usomaji Afrika Mashiriki. 

Hadithi na picha zilizo ndani zilitoka AfricanStorybook.org, na tunawashukuru sana kutoa vitabu bure kwa watoto wa Afrika. 

Inaruhusiwa kunakili, kuiga, kupiga chapa, kutafsisi na kusambaza kitabu hiki popote ulipo. Hiki na vitabu vingi zaidi vinapatikana bure kwenye tovuti yetu. 

Yaliyomo katika kitabu hiki: Adhabu, Ajani Mbaya, Asiyesikia la Mkuu, Barua kwa Mama, Binti Mpendwa, Chiriku, Chungu Kilichokufa, Je, Wanafanya nini?, Jumamosi Moja, Kumtembelea Bibi, Kwa nini Yayeri ni Mashuhuri?, Kwenda Jijini, Magozwe, Mahari, Marafiki, Marafiki Zangu, Masau na Babake, Mwalimu Wangu, Mwezi na Kofia, Najisikia Wasiwasi, Nguo Zangu za Shule, Ngurumo na Mwanawe Radi, Ni Kazi Gani iliyo Muhimu Zaidi?, Nilipata Funzo, Nilivyopotea Sokoni, Ninafurahi Kufanya Hivi, Piga Hatua Uoshe!, Siku Ambayo Jua Lilipotea, Simbi Ampata Mama Mpya, Tunaweza Kufanya Nini? (Kuzuia Maambukizi), Uji, Umoja, Umuhimu wa Mtende, Upepo Mkali, Ushauri Mbaya, Wapi Kigoe Changu? na Wangari Maathai.

Tập:
1
Năm:
2021
In lần thứ:
Online Edition
Nhà xuát bản:
Elimu Yetu
Ngôn ngữ:
swahili
Trang:
529
Loạt:
First Words
File:
PDF, 17.94 MB
IPFS:
CID , CID Blake2b
swahili, 2021
Đọc online
Hoàn thành chuyển đổi thành trong
Chuyển đổi thành không thành công

Từ khóa thường sử dụng nhất